Thursday, 8 May 2014

Kuelekea Brazil kikosi cha Ujerumani Chatajwa.





Wachezaji watatu wa Arsenal, Lukas Podolski, Mesut Ozil na Per Mertesacker wote wamejumuishwa katika kikosi cha Ujerumani kitakachoingia kambini kujiandaa na Fainali za Kombe la Dunia.

Mshambuliaji wa Chelsea, Andre Schurrle pia atakwenda Brazil mwezi ujao baada ya kujumishwa kwenye kikosi cha Joachim Low.
Kiungo wa Real Madrid, Sami Khedira pia ameitwa, licha ya kwamba hajacheza tang Novemba mwaka jana sababu ya majeruhi
Kikosi kamili cha Ujerumani ni makipa: Manuel Neuer (Bayern Munich), Roman Weidenfeller (Borussia Dortmund) na and Ron-Robert Zieler (Hannover), mabeki; Erik Durm (Borussia Dortmund), Jerome Boateng (Bayern Munich), Kevin Grosskreutz (Borussia Dortmund), Benedikt Howedes (Schalke), Mats Hummels (Borussia Dortmund), Marcell Jansen (Hamburg), Philipp Lahm (Bayern Munich), Per Mertesacker (Arsenal), Shkodran Mustafi (Sampdoria) na Marcel Schmelzer (Borussia Dortmund). 
Viungo ni Lars Bender (Bayer Leverkusen), Julian Draxler (Schalke), Matthias Ginter (Freiburg), Leon Goretzka (Schalke), Mario Gotze (Bayern Munich), Andre Hahn (Augsburg), Sami Khedira (Real Madrid), Toni Kroos (Bayern Munich), Max Meyer (Schalke), Thomas Müller (Bayern Munich), Mesut Ozil (Arsenal) na Marco Reus (Borussia Dortmund) wakati washambuliaji ni Lukas Podolski (Arsenal), Andre Schurrle (Chelsea), Miroslav Klose (Lazio) na Kevin Volland (Hoffenheim).

0 comments:

Post a Comment