Saturday, 23 August 2014

Real Madrid watulizwa na Athletico,Athletico mabingwa wa Super Cup

Mchezaji mpya aliyetokea Bayern Munich Mario Mandzukic ameipa ushindi klabu yake ya Atletico Madrid wa bao 1-0 dhidi ya watani zao  Real Madrid na kubeba Super Cup ya Hispania mchezo uliopigwa Uwanja wa Vicente Calderon mjini Madrid, Hispania.
Bao la Raul Garcia katika mchezo wa kwanza kule  Santiago Bernabeu  uliisaidia  Atletico kupata sare ya 1-1 na hivyo Athletico kupata ushindi wa jumla ya mabao 2-1.

0 comments:

Post a Comment