Algeria matumaini bado yapo,Ureno miujiza ila Ubelgiji mambo safi
Mechi ya Pili ya Kundi F la Fainali za
Kombe la Dunia iliyochezwa huko Brazil kati ya Algeria na
Korea kusini ilimalizika kwa ushindi kwa Algeria wa mabao 4—2 na kuweka matumani ya kusonga mbele.
Huu
ni ushindi mzuri kwa Algeria hasa baada ya Urusi kufingwa bao 1-0 na
Ubelgiji, hivyo wawakilishi hawa wa Afrika watahitaji pointi moja tu
dhidi ya timu ya Urusi chini ya kocha Fabop Capello. - See more at:
http://shaffihdauda.com/?p=2468#sthash.IPzn9aeN.dpuf
Huu
ni ushindi mzuri kwa Algeria hasa baada ya Urusi kufingwa bao 1-0 na
Ubelgiji, hivyo wawakilishi hawa wa Afrika watahitaji pointi moja tu
dhidi ya timu ya Urusi chini ya kocha Fabop Capello. - See more at:
http://shaffihdauda.com/?p=2468#sthash.IPzn9aeN.dpuf
Huu
ni ushindi mzuri kwa Algeria hasa baada ya Urusi kufingwa bao 1-0 na
Ubelgiji, hivyo wawakilishi hawa wa Afrika watahitaji pointi moja tu
dhidi ya timu ya Urusi chini ya kocha Fabop Capello. - See more at:
http://shaffihdauda.com/?p=2468#sthash.IPzn9aeN.dpuf
Huu
ni ushindi mzuri kwa Algeria hasa baada ya Urusi kufingwa bao 1-0 na
Ubelgiji, hivyo wawakilishi hawa wa Afrika watahitaji pointi moja tu
dhidi ya timu ya Urusi chini ya kocha Fabop Capello. - See more at:
http://shaffihdauda.com/?p=2468#sthash.IPzn9aeN.dpuf
Huu
ni ushindi mzuri kwa Algeria hasa baada ya Urusi kufingwa bao 1-0 na
Ubelgiji, hivyo wawakilishi hawa wa Afrika watahitaji pointi moja tu
dhidi ya timu ya Urusi chini ya kocha Fabop Capello. - See more at:
http://shaffihdauda.com/?p=2468#sthash.IPzn9aeN.dpuf
Huu
ni ushindi mzuri kwa Algeria hasa baada ya Urusi kufingwa bao 1-0 na
Ubelgiji, hivyo wawakilishi hawa wa Afrika watahitaji pointi moja tu
dhidi ya timu ya Urusi chini ya kocha Fabop Capello. - See more at:
http://shaffihdauda.com/?p=2468#sthash.IPzn9aeN.dpuf
Huu ni ushindi mzuri kwa Algeria hasa baada ya Urusi kufungwa bao 1-0 na Ubelgiji, hivyo wawakilishi hawa wa Afrika watahitaji pointi moja tu dhidi ya timu ya Urusi chini ya kocha Fabio Capello.
Hadi Mapumziko Algeria walikuwa mbele
kwa mabo 3-0 yaliyofungwa na Slimani, Dakika ya 26, Halliche, Dakika ya
28 na Djabou, Dakika ya 38.
Hiyo imekuwa rekodi kwa timu ya Algeria kuwa timu ya kwanza kufunga mabao mengi katika kipindi cha kwanza kwa upande wa timu za Afrika.
Son aliifungia Korea Bao Dakika ya 50 na Algeria kujibu kwa kupiga Bao lao la 4 kupitia Brahimi kwenye Dakika ya 62.
Korea walipata Bao lao la Pili Dakika ya 72 na kuifanya mchezo umalizike kwa mabao 4-2.
Algeria imeweka rekodi kuwa timu ya kwanza kutoka barani Afrika kushinda mabao manne.
Mchezo wa kwanza Urusi walifungwa bao 1-0 na Ubelgiji.
Matokeo mengine ni kwamba Silvestre Varela aliisawazishia Bao
katika Dakika za Majeruhi Ureno walipotoka Sare ya 2-2 na Marekani Jana Usiku huko
Arena Amazonia Mjini Manaus Nchini Brazil kwenye Mechi ya Kundi G la
Fainali za Kombe la Dunia lakini kusonga kwao kwenda Raundi ya Pili
kunahitaji miujiza.
Huku Marekani wakitegemea ushindi baada ya
Clint Dempsey kuwafungi hiyo.
JUMATATU, JUNI 23, 2014 |
|||
SAA |
MECHI |
KUNDI |
UWANJA |
1900 |
Australia v Spain |
B |
Arena da Baixada |
1900 |
Netherlands v Chile |
B |
Arena Corinthians |
2300 |
Croatia v Mexico |
A |
Arena Pernambuco |
2300 |
Cameroon v Brazil |
A |
Nacional |
0 comments:
Post a Comment