Baada ya miaka 16 Hatimaye Nigeria ng'aring'ari,yaishinda Bosnia ya Dzeko
Baada ya miaka 16 ya kutoshinda mchezo wa fainali za kombe la dunia hatimaye Timu ya taifa ya Nigeria imeonja ladha ya ushindi kwa kuichapa Bosnia bao 1-0 katika kombe la dunia kundi la F.Huu nio ushindi wa kwanza tokea 1998 kwa bao la Peter Odemwingie dakika ya 29 akipokea pasi ya Emmanuel Emenike,na kuipeleka Nigeria katika nafasi ya pili wakiwa na alama 4 ila Argentina wana alama 6.
Nigeria itacheza na Argentina katika mchezo wa mwisho wa makundi siku ya jumatano na wanahitaji alama ili wafuzu hatua ya mtoano. nafasi ya tatu iko kwa Iran, wakiwa na alama moja na Bosnia hawana cha kutafuta kwa sasa.
Ratiba ya leo
JUMAPILI, JUNI 22, 2014 |
|||
SAA |
MECHI |
KUNDI |
UWANJA |
1900 |
Belgium v Russia |
H |
Estadio do Maracanã |
2200 |
South Korea v Algeria |
H |
Estadio Beira-Rio |
0100 |
United States v Portugal |
G |
Arena Amazonia |
0 comments:
Post a Comment