Tuesday, 17 June 2014

Kumi bora ya wachezaji waliofunga mabao ya mapema kombe la dunia.

Mshambuliaji wa Marekani, Clint Dempsey jana amefunga bao ambalo linaingia  nafasi ya tano katika orodha ya mabao ya mapema zaidi kwenye historia ya Kombe la Dunia.
Mshambuliaji huyo wa zamani wa Fulham na Tottenham alifunga bao dekunde ya 29 tu jana, Marekani ikishinda 2-1 mchezo huo wa Kundi G mjini Natal, Brazil dhidi ya Ghana.
MABAO YA MAPEMA ZAIDI KOMBE LA DUNIA
Hakan Sukur wa Uturuki (2002): sekunde ya 11 dhidi ya  Korea Kusini
Vaclav Masek wa Czech (1962): sekunde ya 16 Mexico
Ernst Lehner  wa Ujerumani (1934): sekunde ya 25  dhidi ya Austria
Bryan Robson wa Uingereza  (1982): sekunde ya 27  dhidi ya Ufaransa
Clint Dempsey  wa Marekani (2014): sekunde ya 29 dhidi ya Ghana
Bernard Lacombe wa Ufaransa (1978): sekunde ya 30 dhidi ya Italia
Emile Veinante wa Ufaransa  (1938): sekunde ya 35 dhidi ys Ubelgiji
Arne Nyberg wa Sweden (1938): sekunde ya 35 dhidi ya Hungary
Florian Albert wa Hungary  (1962): sekunde ya 50 dhidi ya  Bulgaria
Adalbert Desu  wa Romani (1930): sekunde ya 50 dhidi ya Peru

0 comments:

Post a Comment