Matokeo na Ratiba ya kombe la dunia leo mpaka ijumaa
Michuano ya kombe la dunia yameendelea kurindima jana ambapo Iran na Nigeria zimetoka 0-0 huko Arena da Baixada Jijini Curitiba Nchini Brazil katika Mechi ya Kundi F la Fainali za Kombe la Dunia na hii ndio Droo ya kwanza ya Mashindano haya tangu yaanze Juni 12.
John Brooks alifunga Bao la Kichwa
Dakika 4 kabla Mpira kumalizika na kuipa USA ushindi wa mabao 2-1 kwenye
Mechi ya Kundi G iliyochezwa huko Estadio das Dunas Jijini Natal Nchini
Brazil.
USA walitangulia kupata Bao Sekunde ya
29 tu, hili likiwa ni Goli la 5 la mapema kwenye Historia ya Kombe la
Dunia, alilofunga Clint Demsey, Mchezaji wa zamani wa Fulham.
Andre Ayew aliisawazishia Ghana Dakika ya 82 baada kupokea Pasi ya Kisigino ya Asamoah Gyan.
Mchezo
wa kwanza hiyo jana mshambuliaji Thomas Muller huko Arena Fonte Nova
Jijini
Salvador, Brazil, alifunga mabao 3 na kuisaidia Nchi yake kuizamisha
kwamabao 4-0 Ureno ambayo ilicheza pungufu kwa wachezaji 10 kuanzia
Dakika ya 37 baada ya
Pepe kupewa Kadi Nyekundu.
Mats Hummels alifunga Dakika ya 32.
Ratiba kuanzia leo mpaka Ijumaa.muda kwa saa za TanzaniaJUMANNE, JUNI 17, 2014 |
|||
SAA |
MECHI |
KUNDI |
UWANJA |
1900 |
Belgium v Algeria |
H |
Estadio Mineirão |
2200 |
Brazil v Mexico |
A |
Estadio Castelão |
0100 |
Russia v South Korea |
H |
Arena Pantanal |
JUMATANO, JUNI 18, 2014 |
|||
SAA |
MECHI |
KUNDI |
UWANJA |
1900 |
Australia v Netherlands |
B |
Estadio Beira-Rio |
2200 |
Spain v Chile |
B |
Estadio do Maracanã |
0100 |
Cameroon v Croatia |
A |
Arena Amazonia |
ALHAMISI, JUNI 19, 2014 |
|||
SAA |
MECHI |
KUNDI |
UWANJA |
1900 |
Colombia v Ivory Coast |
C |
Nacional |
2200 |
Uruguay v England |
D |
Arena Corinthians |
0100 |
Japan v Greece |
C |
Estadio das Dunas |
IJUMAA, JUNI 20, 2014 |
|||
SAA |
MECHI |
KUNDI |
UWANJA |
1900 |
Italy v Costa Rica |
D |
Arena Pernambuco |
2200 |
Switzerland v France |
E |
Arena Fonte Nova |
0100 |
Honduras v Ecuador |
E |
Arena da Baixada |
0 comments:
Post a Comment