Nadal abeba taji la French Open,akiri Djockovic ni mkali.
![]() |
Nadal na Djockovic wakipeana mikono. |
Djokovic alikuwa anapewa nafasi ya kuwa mtu wa nane kuchukua ubingwa mara nne japokuwa alishinda seti ya kwanza,Nadal alikuja juu na kushinda 3-6 7-5 6-2 6-4.
Mhispania huyo anakuwa mtu wa kwanza kushinda mataji tano ya Wazi ya Ufaransa na kuweka rekodi zaidi katika michezo 66 alizoshinda kule Paris kati ya 67 alizocheza.
Ushindi huo unamfanya Nadal aendelea kuwa nambari moja katika viwango vya tennis duniani.
Baada ya kumalizika kwa mchezo huo Nadal alikiri kuwa kabla ya mchezo huo alikuwa anamhofia Mpinzani wake lakini alishinda huku akisistiza kuwa amecheza naye michezo minne ya mwisho lakini alishindwa kabisa kumshinda mpinzani wake huyo.
Djokovic alimuajiri Boris Becker ili awe kocha wake mkuu.
0 comments:
Post a Comment