John Cena hana mpinzani,angalia picha alivyowagaragaza wanaume watatu.
John Cena alibeba ubingwa huo Juni 29 lakini alipewa mchezo huu ili kutetea ubingwa wake.
Mchezo huo uliopigwa usiku wa kuamkia leo(Julai 20)ulikuwa na upinzani wa hali ya juu huku Cena akiwapiga Kane, Randy Orton na Roman Reigns.
Angalia picha mwanzo mwisho.
![]() |
Randy Orton wa kwanza kuingia uwanjani. |
![]() |
Seth Rolins naye anaingia uwanjani. |
![]() |
Kane anaingia uwanjani. |
![]() |
John Cena mwenye ubingwa hapo kabla anaingia uwanjani. |
![]() |
Cena akimtoa nje Randy Orton |
![]() |
Rolins akijaribu kumpiga Randy Orton. |
![]() |
Kane na Randy wakijaribu kumdhibiti Rolins aliyepaa hewani |
![]() |
Randy na Kane wakimpigiza chini Rolins |
![]() |
U cant Se me........John Cena akijaribu kumpiga Randy paji la uso |
![]() |
Rolins na Randy wakimdhibiti Cena |
![]() |
Rolins akieelekea kuharibu hesabu za Kane |
![]() |
Zamu ya Randy kuwadhibiti Rolins na Cena |
![]() |
Randy Orton akila teke la usoni kutoka kwa Kane |
![]() |
Kane akidhibitiwa na Rolins |
![]() |
Cena akimpigiza Rolins jukwaani |
![]() |
Rolins naye akijibu mapigo kwa Cena |
![]() |
Cena alifanikiwa kumtoa Rolins nje ya ulingo |
![]() |
Randy Orton alionja joto la meza,Rolins ndiye aliyemrusha mezani |
![]() |
Rolins akiendelea kumdhibiti Randy Orton |
![]() |
Randy na Rolins Hoi baada ya kutoshana nguvu |
![]() |
Cena akiharibu hesabio la refa baada ya Rolins kumzidi Kane |
![]() |
Kane akijiandaa kumweka chini Rolins huku akishikwa koo |
![]() |
Rolins alikubali kupigwa roba la ukweli |
![]() |
Rollins na Cena wakioneshana umwamba |
![]() |
Randy Orton alifanikiwa kumpiga RKO Rolins |
![]() |
Hatimaye John Cena ndiye bingwa kwa mara nyingine akitetea taji lake |
![]() |
Baada ya Cena kushinda Seth Rollins haamini kilichotokea. |
Matokeo mengine
Chris Jericho alimpiga Bray Wyatt
Seth Rollins amemshinda Dean Ambrose
Rusev amempiga Jack Swagger
Bingwa wa Divas AJ Lee ameshinda mbele ya Paige
Mabingwa wa muungano bora akina Usos wameshinda mbele ya The Wyatt Family
Adam Rose amemshinda Fandango
0 comments:
Post a Comment