Thursday, 25 September 2014

Droo ya Capital One Manchester City na Newcastle,Liverpool na Swansea.

Baada ya matokeo ya michezo ya kombe la Capital One raundi ya Tatu kumalizika usiku wa kuamkia leo ,droo ya Raundi ya Mtoano ya Timu 16  imefanyika .

Katika droo hiyo  Liverpool itapambana na  Swansea City wakati Manchester City kucheza na Newcastle.

Mechi za Raundi hii zitachezwa Wiki ya kuanzia Oktoba 27.

DROO YA RAUNDI YA MTOANO YA TIMU 16:

Man City v  Newcastle

Fulham v Derby

Liverpool v Swansea

MK Dons v Sheffield United

Bournemouth v West Brom

Shrewsbury v Chelsea

Tottenham v Brighton
Stoke v Southampton

Matokeo Jumatano Septemba 24
:
Burton 0 Brighton 3

Chelsea 2 Bolton 1

Man City 7 Sheffield Wednesday 0

Tottenham 3 Nottingham Forest 1

West Brom 3 Hull 2

Newcastle 3 Crystal Palace 2

0 comments:

Post a Comment