Federer ajitoa katika michuano ya ATP.
Mcheza tenis Roger Federer
amejiondoa kwenye Fainali ya michuano ya dunia ya ATP ambapo alikua
anatarajiwa kuchuana na Novak Djokovic.
Taarifa zinaeleza kuwa chanzo cha
kujitoa ni maumivu ya mgongo aliyokua akiyapata.
Ikumbukwe kuwa siku ya jumamosi Federer alimshinda Stan Wawrinka kwa 4-6 7-5 7-6(8-6) katika mchezo wa kusisimua wa nusu fainali ambao ulichezwa kwa saa mbili na dakika 48.
0 comments:
Post a Comment