Monday, 5 May 2014

Matokeo ya Mieleka jana usiku,John Cena agaragazwa, akina Batista na Triple H hoi



Usiku wa kuamkia leo kulikuwa na michezo mbalimbali ya mieleka hususan Extreme Rules ambapo kwa mara nyingine kikundi cha shield kimeendelea kusumbua baada ya kuwagaragaza akina Batista,Randy Orton pamoja na Triple H ambao waliunda kikundi cha Evolution.
 Matokeo mengine
Daniel Bryan  alishinda kwa . Kane na kubeba ubingwa wa WWE World Heavyweight Extreme Rules
Bray Wyatt  alimgaragaza  John Cena katika mchezo wa Steel Cage ambapo washindani hufungiwa ndani ya ukumbi uliofungiwa nyaya.

Naye Bad News Barrett  alimgaragaza Big E  na kutangawza kuwa bingwa wa mabara yaani  (Intercontinental Championship
Alexander Rusev alishinda mbele ya  R-Truth pamoja na Xavier Woods
Vile vile Cesaro  aliwafundisha nidhamu Rob Van Dam aliyeungana na  Jack Swagger ( katika mchezo wa Triple Threat Elimination
Kwa upande wa akina dada Paige  ambaye alitetea ubingwa wake baada ya kumchapa . Tamina Snuka  kugombea ubingwa wa Divas

0 comments:

Post a Comment