Breaking news;Barcelona kumsajili kipa wa Chile.
Barcelona haijatoa maelezo ya kutosha kuhusu dili hilo.
Barcelona imesema kuwa Bravo atasaidiana na kipa wao mpya Marc-Andre ter Stegen baada ya Victor Valdes kumaliza mkataba wake.
Bravo mwenye miaka 31 ndiye nahodha wa Chile ambayo kwa sasa yuko nchini Brazil katika fainali za kombe la dunia na Chile itacheza na Brazil katika hatua ya mtoano.
Ikumbukwe kuwa Bravo ameitumikia Sociedad misimu minane baada ya kuanza soka akiwa na klabu ya kule nchini kwao,Colo-Colo.
Akifanikiwa kujiunga na Baka atakutana na Mchile mwenzake Alexis Sanchez
0 comments:
Post a Comment