FIFA imemtetea mwamuzi wa Japan aliyechezesha Brazil na Croatia
![]() |
Yuichi Nishimura |
Kocha wa Croatia alilalamika bada ya uamuzi uliotolewa na mwamuzi Nishimura na kutoa pelnati baada ya mlinzi Dejan Lovren kumuangusha mshambuliaji Fred.
Vyombop vy habari nchini Croatian wamelalamikia tukio hilo na kudai kuwa mwamuzi alifanya makosa. Lakini magazeti ya Brazil yameandika "arigato" –kwa maana ya ahsante mjapan .
Fifa imemtetea Nishimura, lakii imesema kuwa hakuna maamuzi yaliyochukuliwa kama atachezesha mchezo mwingine.
Kiongozi wa waamuzi wa Fifa Massimo Busacca amesisitiza kuwa Nishimura amefuzu kuchezesha komb la duia.
Nishimura mwenye miaka , 42, amechaguliwa kuwa kocha bora mara mbili nchini Japan katika J-League .
0 comments:
Post a Comment