Messi,Neymar au RVP,Muller kubeba kiatu cha dhahabu?
![]() |
Messi na Neymar |
Inavyoonekana kwa sasa Messi na Neymar wameanza kuzungumzwa kuwa mmojawao atabeba kiatu hicho. Messi alifunga mabao mawili wakati Nigeria wakilazwa 3-2 na Argentina wakati Neymar alifunga amabao mawili wakati Brazil ikiiangamiza Cameroon 4-1.
![]() |
RVP |
Neymar naye amefikisha mabao manne ila hakufunga bao Brazil ikicheza na Mexico,kuna baadhi ya wachezaji wakiendelea kufumania nyavu inawezekana Neymar na Messi wakaenguliwa.
![]() |
Shaqiri |
Wachezaji ambao wana mabao 3 kila moja ni
Wachezaji wenye mabao mawili ni pamoja na 2 – Cahill (Australia), Mandzukic (Croatia), Suarez (Uruguay), Gervinho (Ivory Coast), Depay (Holland), Perisic (Croatia), Martinez (Colombia), Dempsey (USA), Bony (Ivory Coast), A Ayew (Ghana), Musa (Nigeria).
0 comments:
Post a Comment