Wednesday, 18 June 2014

Ratiba ya EPL Manchester City kuanza na Newcastle United

Mabingwa wa ligi kuu ya Uingereza Manchester City watafungua ligi wakiwa ugenini kucheza na Newcastle United baada ya  Ratiba kuwekwa hadharani jumatano hii.
Liverpool ambo walitoa upinzani mkubwa mwaka huu wataanzia nyumbani kucheza na Southampton wakati Chelsea wataanza ugenini dhidi ya Burnley.
Mabingwa wa zamani Manchester United watacheza na Swansea katika uwanja wa Old Traford.

Sports4lifetz inakupatia ratiba za mwanzo kwanza.
RATIBA YA MECHI ZA EPL MSIMU WA 2014/15
Mechi za kwanza katika wiki ya Agosti 16
Arsenal v Crystal Palace
Burnley v Chelsea
Leicester City v Everton
Liverpool v Southampton
Manchester United v Swansea City
Newcastle United v Manchester City
Queens Park Rangers v Hull City
Stoke City v Aston Villa
West Bromwich Albion v Sunderland
West Ham United v Tottenham Hotspur

Jumamosi 23rd August 2014
Aston Villa V Newcastle
Chelsea V Leicester



Crystal Palace V West Ham

Everton V Arsenal

Hull V Stoke



Man City V Liverpool

Southampton V West Brom

Sunderland V Man Utd

Swansea V Burnley



Tottenham V QPR

Jumamosi 30th August 2014






Aston Villa V Hull


Burnley V Man Utd


Everton V Chelsea


Leicester V Arsenal


Man City V Stoke

Newcastle V Crystal Palace

QPR V Sunderland


Swansea V West Brom


Tottenham V Liverpool
West Ham V Southampton
 

0 comments:

Post a Comment