Klose ampiku Ronaldo,Muller aingia kwenye kumi bora....wengine hawa hapa.

Klose amefunga sasa jumla ya mabao 16 baada ya kushiriki michuano nne za kombe la dunia.
Mshambulizi huyo alikuwa ana mabao sawa na nyota wa zamani wa rekodi hiyo mbrazil Ronaldo alipoifungia Ujerumani bao la pili la kusawazishia dhidi ya Ghana katika mechi za mchujo awali katika kipute hicho.

Klose amefunga mabao 16
Rekodi ya awali ya Ujerumani ilikuwa inashikiliwa na Gerd Mueller
Naye Thomas Muller amefikisha mabao kumi tokea aanze kucheza kombe la dunia baada ya jana kufunga bao lake la 5 la mashindano ya mwaka huu.
Kufuatia Ushindi huo Ujerumani imefuzu kwa fainali yake ya kwanza katika kipindi cha miaka kumi na miwili iliyopita.
![]() |
Ronaldo De lima |
Mchezaji/Nchi | Mabao |
Miroslav Klose-Ujerumani | 16 |
Ronaldo-Brazil | 15 |
Gerd Muller-Ujerumani | 14 |
Just Fontaine-Ufaransa | 13 |
Pele-Brazil | 12 |
Sandor Kocsis-Hungary | 11 |
Jurgen Klinsmann-Ujerumani | 11 |
Helmut Rahn-na Thomas Muller-Ujerumani | 10 |
Gary Lineker-uingereza | 10 |
Gabriel Batistuta-Argentina | 10 |
Nyota wa zamani wa Ufaransa aliyecheza soka miaka ya 1958 Just Fontaine - amefunga mabao 13 .
Akiwa na mabao 12 katika mashindano nne ya kombe la dunia kuanzia 1958 na 1970, gwiji wa Brazil Pele ni nyota kwenye nchi yake akiwa na mabao hayo na kubeba kombe mara 3
Wachezaji wawili wamefunga mabao 11 kila moja , gwiji wa Hungary Sandor Kocsis na Mjerumani Jurgen Klinsmann.
Kumi bora inafungwa na Mjerumani , Helmut Rahn, mwaka wa 1954 na 1958, mshambuliaji wa
![]() |
Pele. |
Taarifa hizi ni kwa mujibu wa Sports4lifetz kushirikiana na Goal.com
0 comments:
Post a Comment