Mandzukic kujiunga na Athletico Madrid
Nyota wa Croatia Mario Mandzukic yuko mbioni kujiunga na klabu ya Atletico Madrid ya Hispania akitokea klabu ya Bayern Munich, Munich imetangaza hii leo.
Mkurugenzi wa klabu ya Bayern Matthias Sammer
ameeleza hayo katika mkutano wa waandishi wa habari na kusema kuwa maelewano baina ya vilabu viwili yanaendelea pamoja na mchezaji
Sammer amesema kuwa "Kuna maelewano mazuri baina ya Bayern, Atletico Madrid na Mario Mandzukic."

0 comments:
Post a Comment