Sherehe za Ujerumani kubeba kombe la dunia,mwanamuziki Rihanna akiwa katikati akiwa anapokea busu kutoka kwa Lukas Podolski na Bastian Schweinsteige.Rihanna naye alikwepo uwanjani huku akisherekea ushindi wa Ujerumani.
 |
Rihana akiwa jukwaani na alikuwa akishangilia bao la Gotze,Ujerumani 1 Argentina 0 |
|
|
 |
Mchezaji wa Ujerumani Andre Schurrle hana habari huku mpenzi wake akimbusu,,alikuwa na furaha baada ya Ujerumani yake kubeba ubingwa. |
 |
Fathy Fischer akimpa busu la nguvu mpenzi wake Hummels. |
 |
Sam Khedira balaa kweli,,akipeana busu na mpenzi wake. |
0 comments:
Post a Comment