Wednesday, 27 August 2014

Neil Warnock ateuliwa kuwa kocha wa Crystal Palace.

Klabu ya Crystal Palace imemtangaz kocha Neil Warnock kuwa kocha wa klabu hiyo.

Kocha huyo aliyekuwa anafundisha soka  Leeds United msimu uliopita , alitumia muda wa miaka mitatu ndani ya  Selhurst Park kati ya mwaka 2007 na  2010 kabla ya kujiunga na QPR.

0 comments:

Post a Comment