Monday, 18 August 2014

Suarez kucheza leo asema Enrique.

Kocha wa Barcelona Luis Enrique amesema kuwa mshambulizi wao mpya Luis Suarez ataruhusiwa kucheza leo.
Hiyo inafuatia baada ya kupigwa marufuku ya kushiriki mashindano yeyote ya soka na shirikisho la soka duniani FIFA kwa kumng'ata mlinzi wa Italia Giorgio Chiellini katika mechi ya kombe la dunia dhidi ya Uruguay.

0 comments:

Post a Comment