Cameroon yainyamazisha Ivory Coast 4-1,pata matokeo mengine.
Timu ya taifa ya Cameroon imewachapa Ivory Coast mabao 4-1, Mabao hayo yamefungwa na Clinton Mua Njie na Vincent Aboubakar, ambapo kila mtu amefunga mabao mawili.Bao lao pekee lilifungwa kupitia Yaya Toure kwenye Mechi ya Kundi D.
Huo ni ushindi wa pili kwa Cameroon wakati Ivory Coast wameshinda moja na kufungwa moja.
Toka Kundi A, baada ya kuichapa Ugenini Nigeria mabao 3-2, Congo wakiwa Nyumbani wameifunga Sudan mabao 2-0 ambao hicho ni kipigo chao cha pili baada kufungwa 3-0 wakiwa kwao Khartoum na Afrika Kusini Ijumaa iliyopita.
MATOKEO MENGINE
Group A
- Congo 2-0 Sudan
- South Africa 0-0 Nigeria
- Malawi 3-2 Ethiopia
- Algeria 1-0 Mali
- Angola 0-3 Burkina Faso
- Lesotho 1-1 Gabon
- Cameroon 4-1 Ivory Coast
- Sierra Leone 0-2 DR Congo
- Togo 2-3 Ghana
- Uganda 2-0 Guinea
- Mozambique 1-1 Niger
- Cape Verde 2-1 Zambia
- Botswana 0-2 Senegal
- Egypt 0-1 Tunisia
0 comments:
Post a Comment