Djockovic atinga nusu fainali,Murray akubali kushindwa.

Djockovic alishinda kwa seti tatu kwa moja 7-6 (7-1) 6-7 (1-7) 6-2 6-4 dhidi ya Murray katika mchuano wa saa tatu na nusu na kumalizikia saa saba na dakika 17 usiku,.
Serena William
Kushindwa kwake Murray kuna maanisha kwamba hakuweza kufaulu kucheza nusu fainali ya michuano yoyote tangu afanyiwe upasuaji wa mgongo Septemba 2013.
Baada ya mchezo kumalizika Murray alisema kuwa anampongeza sana mpinzani wake kwani alikuwa bora sana.

Serena William
Ekaterina Makarova wa Urussi naye pia aliingia nusu fainali ikiwa mara yake ya kwanza kufika hatua hiyo katika michuano mikubwa ya kimataifa. Alimshinda Victoria Azarenka 6-4 6-2.
0 comments:
Post a Comment