Ratiba ya kufuzi AFCON 2015,kazi itaanza ijumaa.
Mechi za hatua ya makundi ya kufuzu michuano ya Mataifa ya Afrika-Afcon mwakani zinatarajiwa kuanza kutimua vumbi kesho ambapo nchi 28 zitakuwa zikitafuta nafasi 15 kwa ajili ya kujiunga na mwenyeji Morocco katika michuano hiyo Januari mwakani.Kuelekea katika michuano hiyo tatizo la viwanja vitakavyotumika vimeibua mashaka kwa baadhi ya mechi kutoka na wasiwasi wa ugonjwa hatari wa Ebola.
Shirikisho la Soka barani Afrika-CAF limeziamuru nchi za Guinea na Sierra Leone kuhamisha mechi zao za nyumbani katika viwanja huru kwasababu ya mlipuko wa ugonjwa huo kwenye nchi hizo.
RATIBA
Ijumaa Septemba 5 2014
| Sudan | v | Africa Kusini | |||
| Senegal | v | Misri |
| Jumamosi Septemba 6 2014 |
| DR Congo | v | Cameroon | |||
| Guinea | v | Togo | |||
| Burkina Faso | v | Lesotho | |||
| Ethiopia | v | Algeria | |||
| Mali | v | Malawi | |||
| Ivory Coast | v | Sierra Leone | |||
| Gabon | v | Angola | |||
| Niger | v | Cape Verde | |||
| Zambia | v | Msumbiji | |||
| Ghana | v | Uganda | |||
| Nigeria | v | Congo | |||
| Tunisia | v | Botswana |

0 comments:
Post a Comment