Tuesday, 16 September 2014

Januzaj apiga 3 Manchester United ikishinda 4-0 dhidi ya Sunderland.

Mchezaji Adnan Januzaj alisaidia klabu ya Manchester United baada ya kuifungia mabao matatu 'hat-trick' katika ushindi wa mabao  4-0 dhidi ya Sunderland katika michuano ya vijana chini ya miaka 21 (U 21).
 
Januzaj alifunga magoli hayo mbele ya Van Gaal aliyeambatana na mke wake kipenzi.
 
Mwishoni mwa wili iliyopita,nyota huyo kinda raia wa Ubelgiji alicheza dakika nane katika ushindi wa 4-0 dhidi ya QPR.
 
Januzaj atakabiliwa na changamoto ya namba Old Trafford msimu huu kufuatia kutua kwa Di Maria, Ander Herrera na Radamel Falcao - lakini akicheza mbele ya Van Gaal jana, alionesha kipaji cha hali ya juu.
Adnan Januzaj makes it 4-0 by scoring past Sunderland goalkeeper Maksymilian Stryjek
Adnan Januzaj akifunga goli na kuufanya ubao usomeke 4-0 
Anderson congratulates Adnan Januzaj after the Belgium international completes the scoring
Anderson akimpongeza Adnan Januzaj baada ya kufunga goli safi 
Louis van Gaal and his wife Truus watched Manchester United's game against Sunderland at Old Trafford
Louis van Gaal na mke wake Truus waliitazama mechi kati ya Manchester United dhidi ya Sunderland iliyopigwa uwanja wa Old Trafford
Louis van Gaal's assistant managers Albert Stuivenberg and Ryan Giggs watched the game along with first team fitness coach Tony Strudwick and former Manchester United striker Michael Owen
Makocha wasaidizi wa Man United, Stuivenberg na Ryan Giggs wakishuhudia.

0 comments:

Post a Comment