Monday, 15 September 2014

Ninataka kubeba ubingwa asema Van Gaal.

Kocha wa klabu ya  Manchester United  Louis van Gaal  amesema nia yake ni kubeba ubingwa wa ligi kuu nchini Uingereza.

United ambayo waliitandika 4-0 huo ukiwa ushindi wao wa kwanza kwenye Ligi Kuu Uingereza  katika Mechi 4 za Msimu huu mpya, Va Gaal alitumia Mabeki Wanne nyuma wakiwa ni Rafael, Jonny Evans, Tyler Blackett na Marcos Rojo.

"Nataka kubeba ubingwa wa ligi kuu,"alisema Van Gaal.
"kama sio mwka huu, basi itakuwa mwakani. ninataka kuwapa mashabiki ubingwa."

Michezo ya Man u siku zijazo

Sunday 21 September: Leicester
Saturday 27 September: West Ham
Sunday 5 October: Everton
Monday 20 October: West Brom

Van Gaal, ambaye alishinda mataji katika msimu wake wa kwanza akiwa  Barcelona na Bayern Munich,amehakikishiwa kumaliza katika nafasi ya 3 na makamu mwenyekiti   Ed Woodward.

Baada ya kufunga mabao mawili katika michezo tatu za ligi chini ya  Van Gaal, Manchester Unitedilicheza vema dhidi ya  QPR.

Mabao yalifungwa na Angel Di Maria na Ander Herrera ikiwa ni mabao yao ya kwanza kwa United, wakati Wayne Rooney na Juan Mata  wakitikisa nyavu.


Wachezaji wapya wa Man u waliocheza jana na alama zao

Ander Herrera - 8

Ander Herrera

Daley Blind - 7

Daley Blind

Marcos Rojo - 7

Marcos Rojo

Angel Di Maria - 8

Angel Di Maria

Radamel Falcao - 7

Radamel Falcao
.

0 comments:

Post a Comment