Tuesday, 16 September 2014

UEFA Dortmund kuwaalika Arsenal,Liverpool itakuwa Anfield,pata ratiba.

Michezo ya makundi ya ligi ya mabingwa barani Ulaya inaanza leo katika viwanja vinane  ambapo Liverpool, ambao wamewahi kutwaa Ubingwa  mara 5, wanarejea Ulaya kucheza Mechi yao ya kwanza ya Kundi B la baada ya kupotea kwa Miaka Mitano na Wapinzani wao ni Ludogorets Razgrad ya Bulgaria.

Liverpool walitwaa Ubingwa wa Ulaya kwa mara ya mwisho Mwaka 2005 baada ya kuibwaga AC Milan lakini Mwaka 2006/07 AC Milan ikawabwaga wao.

Borussia Dortmund ikiwa Ujerumani itawaalika Arsenal katika uwanja wa Signal Iduna.

RATIBA
Jumanne Septemba16 2014....muda ni kwa saa za Tanzania.

MonacovBayer 04 LeverkusenStade Louis II21:45

BenficavZenit St PetersburgEstadio da Luz21:45

Borussia DortmundvArsenalSignal Iduna Park21:45

LiverpoolvLudogorets RazgradAnfield21:45

GalatasarayvRSC AnderlechtTürk Telekom Arena21:45

JuventusvMalmö FFJuventus Stadium21:45

OlympiakosvAtlético de MadridKaraiskaki Stadium21:45

Real MadridvFC BaselSantiago Bernabéu21:45

0 comments:

Post a Comment