Mbeya City dimbani leo na Vipers ya Uganda.
Klabu ya Mbeya city itapambana na Vipers FC (Zamani Bunamwaya Fc) ya Uganda Jumamosi hii kwenye uwanja wa Sokoine.Mchezo huo unamepangwa kuanza saa 10:00.
Vipers Fc inatarajiwa kuwasili Mbeya jioni ya leo ikitokea Entebbe kupitia Dar Es Salaam.
Kiingilio kitakuwa Sh.3000
Hii ikiwa ni mabadiliko kutoka kiingilio kilichotangazwa awali cha sh. 5000.

0 comments:
Post a Comment