Mjapan amtupa nje Djockovic na kutinga fainali ya US Open.
Mcheza tennis huyo mwenye miaka 24 atacheza na Roger Federer au Marin Cilic katika fainali siku ya kesho (Jumatatu).
Nishikori anayeshikilia nafasi ya 10, anafundishwa na Michael Chang.
Baada ya mchezo huo kumalizika alisema kuwa ni furaha sana kumshinda mchezaji namba moja duniani.
0 comments:
Post a Comment