Hispania,Uingereza na Sweden mambo safi kufuzu EURO 2016.
Michezo ya kufuzu EURO 2016 Iliendelea tena Jana ambapo mabingwa watetezi Hispania walizinduka baada ya kupoteza mchezo wao dhidi ya Slovakia lakini jana waliichabanga Luxemborg mabao 4-0.Katika mchezo huo golkipa David De Gea alidaka badala ya Nahodha wao Iker Casillas.
Mabao ya Hispania yalifungwa na David Silva, Dakika ya 27, Paco Alcacer, Dakika ya 42, Diego Costa, 69, na Bernat, 88.
Katika Mchezo mwingine Uingereza ilipata ushindi mwembamba wa bao 1-0 dhidi ya Estonia kwa bao la nahodha Wayne Rooney.
Matokeo Jumapili Oktoba 12
Austria 1 Montenegro 0 ]
Estonia 0 England 1
Russia 1 Moldova 1
Ukraine1 Macedonia 0
Luxembourg 0 Spain 4
Belarus 1 Slovakia 1
Sweden 2 Liechtenstein 0
Lithuania 0 Slovenia 2
0 comments:
Post a Comment