Thursday, 4 December 2014

Makundi AFCON 2015 Yapangwa,Ghana kundi la kifo.



Hatimaye  Makundi ya  Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika,AFCON 2015 yamepangwa.

Upangaji huo umefanyika huko Malabo Nchini Equatorial Guinea.

Katika makundi hayo yaliyopangwa Wenyeji Equatorial Guinea wako Kundi A pamoja na Congo-Brazzaville, Gabon na Burkina Faso na wao ndio watacheza Mechi ya ufunguzi hapo Januari 17 dhidi ya Congo-Brazzaville.

Lakini kundi la C limeonekana kuwa gumu kwani kuna Ghana,Senegal,Afrika Kusini,Algeria.

Mechi ya Fainali ya Mashindano haya itafanyika hapo Februari 8.

KUNDI A

Equatorial Guinea

Congo-Brazzaville

Gabon

Burkina Faso

KUNDI B

Zambia

DR Congo

Cape Verde

Tunisia

KUNDI C

Ghana

Senegal

Afrika Kusini

Algeria

KUNDI D

Ivory Coast

Guinea

Cameroon

Mali

0 comments:

Post a Comment