Tuesday, 6 January 2015

Mapinduzi Cup Simba robo fainali,pata ratiba ya leo

Mashindano ya Mapinduzi Cup 2015 yamendelea usiku wa kuamkia leo huko Visiwani Zanzibar kwa Simba kucheza na JKU

Katika mchezo huo Simba ilibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya JKU huku bao pekee likifungwa na Ramadhani Singano .

Mechi ya kwanza ni kati ya Mtibwa Sugar na Mafunzo na matokeo yalikuwa 0-0

Kwa matokeo hayo Simba imefuzu robo fainali kama kinara wa kundi lao la C Sambamba na Mtibwa.

Mechi za leo Azam na Mtende huku  KMKM Wakipepetana na KCCA,Yanga na Shaba pia Polisi itamenyana Jang'ombe.

0 comments:

Post a Comment