Tuesday, 6 January 2015

Droo ya FA,Arsenal na Brighton,Pata droo kamili hapa.

Usiku wa kuamkia leo droo ya Mechi za Raundi ya 4 ya kombe la FA imefanyika ambapo Mabingwa Watetezi, Arsenal, watakuwa Ugenini kucheza na Brighton & Hove Albion ambayo ipo Daraja la chini ya Ligi Kuu Uingereza, Championship.


Katika droo hiyo Cambridge United, ambayo ndio ipo Daraja la chini kabisa, watakuwa Wenyeji wa Manchester United.

Cambridge United, ambao waliwahi kufika Robo Fainali ya FA CUP mara mbili Miaka ya 1990 na 1991, wapo Nafasi ya 14 katika Ligi la Daraja la chini, Ligi 2.

Mechi hizo zitachezwa Januari 24 na 25.

DROO
Cambridge United v Manchester United

Chelsea v Millwall/Bradford City

Southampton/Ipswich v Crystal Palace

Blackburn Rovers v Swansea City

Derby v Scunthorpe/Chesterfield

Preston North End v Sheffield United

Birmingham City v West Bromwich Albion

Aston Villa v Bournemouth

Cardiff City v Reading

AFC Wimbledon/Liverpool v Bolton Wanderers

Burnley/Tottenham Hotspur v Leicester City

Brighton & Hove Albion v Arsenal

Rochdale v Stoke City

Sunderland v Fulham/Wolves

Doncaster/Bristol City v Everton/West Ham

Manchester City v Middlesbrough

0 comments:

Post a Comment