Monday, 26 May 2014

Vilabu vinavyopendwa na mashabiki Ulimwenguni

 
Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na majarida mbalimbali na mitandao  kuhusu vilabu ambavyo vina mashabiki wengi ulimwenguni umeonesha kuwa  vilabu vya Uingereza vinapendwa na mashabiki wengi duniani baada ya kuingiza vilabu vingi kwenye kumi bora,Manchester united msimu wa 2014-2015 watapoteza kiasi cha euro mil 50 kwa kuwa hawatashiriki katika michezo ya Ulaya kwa msimu ujao lakini bado klabu hiyo inapendwa na mashabiki.

Mabingwa wa Ulaya mwaka huu Real madrid wanakamata nafasi ya 3  nyuma ya Baka na Manchester United

10 Juventus  ina mashabiki   mil 20

9. Bayern Munich ina mashabiki   mil 24

8. Inter Milan ina mashabiki   mil49

7. Liverpool  ina mashabiki   mil71

6. AC Milan ina mashabiki   mil 99

5. Arsenal ina mashabiki   mil 115

4. Chelsea ina mashabiki   mil 140

3. Real Madrid ina mashabiki   mil 174

2. Barcelona ina mashabiki   mil 270

1. Manchester United ina mashabiki  mil 354

Chanzo;Top10th.com na Daily sport

 

0 comments:

Post a Comment