Taifa Stars dimbani leo,Uganda mambo yao safi walishinda 2-0
Timu ya taifa ya soka Tanzania Taifa Stars, chini ya kocha Mholanzi, Mart Nooij, inatarajia kucheza leo (Julai 20) dhidi ya Msumbiji kuwania kupangwa hatua ya makundi ili kusaka tiketi ya fainali za AFCON zitakazochezwa Morocco hapo mwakani.
Taifa Stars imewasili juzi Dar es salaam ikitokea Mbeya ambapo iliweka kambi kwa ajili ya mchezo huo.
Taifa Stars ilitoa Zimbabwe kwa jumla ya mabao 3-2 katika hatua iliyopita na
Viingilio kwa mechi hiyo itakayochezwa leo (Jumapili) Uwanja wa Taifa
jijini Dar es Salaam ni sh. 7,000 na sh. 30,000 kwa viti maalumu 45,000
tu.
Mashindano yalianza kunguruma jana jumamosi ambapo Botswana, Uganda na Sierra Leone
wameshinda michezo yao ya awali.
Botswana iliwachapa Guinea-Bissau 2-0 ikiwa nyumbani kwao Gaborone.
Lemponye Tshireletso alifunga mabao yote mawili kwa upande wa Botswana.
MATOKEO YA JANA JUMAMOSI
Geofrey Massa, anayechezea klabu ya University of Pretoria ya Afrika kusini alifunga bao la pili
Sierra Leone ilishinda mbele ya Shelisheli 2-0 mjini Freetown.
Khalifa Jabbie alifunga bao la kwanza dakika ya 56. Umaru Bangura aliongeza bao la pili kabla ya filimbi ya mwisho.
Michezo ya marudiano itapigwa kati ya Agosti1-3. Michezo ya AFCON 2015 Morocco itachezwa kuanzia Januari 17 hadi Februar 8 2015.
Lemponye Tshireletso alifunga mabao yote mawili kwa upande wa Botswana.
Lakini baada ya mchezo kumalizika kocha wa Botswana Peter Butler
alikiri kuwa wapinzani walikuwa wakali ila wao wametumia nafasi
walizopata.
Naye kocha wa Guinea-Bissau Paulo
Torres amesisitiza kuwa watajitahidi katika mchezo wa marudiano.MATOKEO YA JANA JUMAMOSI
- Botswana 2-0 Guinea-Bissau
- Uganda 2-0 Mauritania Shelisheli
- LEO JUMAPILI
- Lesotho v Kenya
- Tanzania v Msumbiji
- Congo Brazzaville v Rwanda
- Benin v Malawi
Katika michezo mingine Uganda iliwabamiza
Mauritania
2-0 jijini Kampala.
Brian Majwega alifunga bao la kwanza dakika ya 49.
Geofrey Massa, anayechezea klabu ya University of Pretoria ya Afrika kusini alifunga bao la pili
Sierra Leone ilishinda mbele ya Shelisheli 2-0 mjini Freetown.
Khalifa Jabbie alifunga bao la kwanza dakika ya 56. Umaru Bangura aliongeza bao la pili kabla ya filimbi ya mwisho.
Michezo ya marudiano itapigwa kati ya Agosti1-3. Michezo ya AFCON 2015 Morocco itachezwa kuanzia Januari 17 hadi Februar 8 2015.
0 comments:
Post a Comment